Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Tuendelee kuzikata hizi gambe kwa juhudi maana haya majonzi noma sana, tuzikate zitupe faraja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora nimeshusha pumzi, maana yake humu JF, Mhh wasikuzingue baby. kwa sababu roho yangu inaning'nia kwakoHapana bby ni wewe tu
Bora umeniambia, presha inapanda, presha inashuka [emoji177][emoji177]Hapana bby ni wewe tu
Bro, umekua siraeli.... [emoji849][emoji849][emoji849]Nimekumbuka ule wimbo wa MATEMBELE ni MATAMU kama mke wa Jirani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah aaah aaaah mdudu kanona asee, hadi njaa imerudi tena [emoji31][emoji31]Jamaa angu anakunywa ngumu kumesaa[emoji23][emoji23]View attachment 874689
Pole mkuu karibuuAaah aaah aaaah mdudu kanona asee, hadi njaa imerudi tena [emoji31][emoji31]
Ahsante mkuu safari iendeleePole mkuu karibuu
Dah mdudu roastJamaa angu anakunywa ngumu kumesaa[emoji23][emoji23]View attachment 874689
Watu mnakula maisha aseeJamaa angu anakunywa ngumu kumesaa[emoji23][emoji23]View attachment 874689
Mtamu kuliko uchii[emoji23][emoji23][emoji23]Dah mdudu roast
Kawaida sanaa mkuuWatu mnakula maisha asee