Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Halafu wa mbeya[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni kweli mkuu. Wasiokunywa kapombe wanakuwa na vitabia vya ajabu, afu hawana ushirikiano na wenzao wana wivu wivu tuu, sisi tujumuikao tunajenga umoja, kujali afya ya mwenzio kwa kumuagizia moja mbili, kudiskas mambo muhimu ukiwa katika Higher IQ, yaan sisi ni wajenga nchi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kula like
 
No offense!
Kuna jamaa na watu wangu wa karibu sana wasikwazike na hizi comments... Sio walevi lakini pia sio wambea... My apology kama watakuwa wameumizwa na hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…