Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mshana ujue humu wanakuogopa kwa uchawi ila sikuogopi. Unajua mwenyewe nilikotoka. Usipime. Ilaa hii picha uliitafuta mkuu mpaka umeipata. Hongera!!.
😳 😳 😳 πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Kuna kitu ntazungumza kesho kuhusu wavutaji na vilevile wazawa wa uzi huu kuhusu fegi na ukiweka vyombo. Nanda kuoongeza vyombo. I aam on my way.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji100][emoji260][emoji263][emoji261]πŸ•·
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…