Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mi ukitaka nisiondoke bar dj apige hizi ngoma..nitaondoka kesho aisee
Your browser is not able to play this audio.
 
Mkuuu hizi chupaa ninecehekaa sanaa

Majuziii nilikuwa kwenye sherehee huko mlimani City waty wanaondoka wanasachiwa mkuu ziliwekwa pembeni kama chupa 130 za aina hii balaaa nikicheka sina mbavu wakioweka kwenye makoti kwenye vyupii weee toaaa
 
Mkuuu hizi chupaa ninecehekaa sanaa

Majuziii nilikuwa kwenye sherehee huko mlimani City waty wanaondoka wanasachiwa mkuu ziliwekwa pembeni kama chupa 130 za aina hii balaaa nikicheka sina mbavu wakioweka kwenye makoti kwenye vyupii weee toaaa
Hah ah haha aha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…