Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Uzuri huku bana ,bia 24 hrs
IMG_20180924_160711.jpg
 
[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]sifa ya utumbo sio mfupa bali ni harufu... Ile ya ndogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahahah
 
Dah lakini kweli Mimi mkewangu alikuwa na tabia ya kunisemeya home nilimpa viganja viwili tu mpaka Leo kanielewa nakula bata tu.
Hiyo nayo ni changamoto common kwa wanywaji wote, mimi huwa nakunywa kwa raha sana lakini akili ikimkumbuka wife tu basi raha yote kwisha mana naenda kutana na balaa si mchezo
 
Back
Top Bottom