😵 😵 😉Mie nilibanwa na kazi za hawa majamaa ,hapa nina KIU balaa
Anzisha na mbili, ya kwanza usishushe chupa chini hadi ibaki povu, ya pili ndo inasindikiza ya kwanzaMie nilibanwa na kazi za hawa majamaa ,hapa nina KIU balaa
Kiu kinakuwaga kikali asikuambie mtuMie nilibanwa na kazi za hawa majamaa ,hapa nina KIU balaa
Hahaha, nahitaji King Turbo moja braidii kutoa KIU ,halafu kuna kikao tena SAA moja, nadhani hicho naingia nimependezaAnzisha na mbili, ya kwanza usishushe chupa chini hadi ibaki povu, ya pili ndo inasindikiza ya kwanza
Kuna ki pub kimoja ,kona ngoja on kakate KIU asee😵 😵 😉
Ova
Bana bana,na lzm uitii KIU yako mtuKiu kinakuwaga kikali asikuambie mtu
Mi mwenyewe napiga tarumbeta na kirikuu cha baridi hapa!Bana bana,na lzm uitii KIU yako mtu
Mie nishafika ,nimeacha makaratasi ya na mlaptop wao ,ngoja kwanza nipoze bichwa hili ,nakadhaaMi mwenyewe napiga tarumbeta na kirikuu cha baridi hapa!
Yanini nijitese aisee natafuta hela ili nilipe kodi
Cheers mkuuMie nishafika ,nimeacha makaratasi ya na mlaptop wao ,ngoja kwanza nipoze bichwa hili ,nakadhaa
CheersCheers mkuu
Hahahah[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]sifa ya utumbo sio mfupa bali ni harufu... Ile ya ndogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hiyo nayo ni changamoto common kwa wanywaji wote, mimi huwa nakunywa kwa raha sana lakini akili ikimkumbuka wife tu basi raha yote kwisha mana naenda kutana na balaa si mchezo
Nimependa radio yakoLeo nipata hii karibuniView attachment 876660
Nimependa radio yako
Juice inaweza ikawa INA kitu ndani, kitu cha punch ,huku Radio inaleta habari na burudaniHahahaha sio juice. Radio ya wahenga