Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #281
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji39][emoji23][emoji39]Watu na mateso yao!! Iringa mtanielewa hapa.View attachment 863970
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji39][emoji23][emoji39]Watu na mateso yao!! Iringa mtanielewa hapa.View attachment 863970
Beer ina hesabu zakeView attachment 863426
Dawa ya kukwepa utamu ni kutouonja!!bs mkuu bd hujaonja vitu vzr dunia hii
nakuelewa, wanasemaga kunguru muoga huishi miaka mingiDawa ya kukwepa utamu ni kutouonja!!
[emoji15][emoji15][emoji15]12%
Sijawahi kuonja bia na nimeomba Mungu nisije hata kuramba hivi vyuma chakavu!!!View attachment 863972
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]bs mkuu bd hujaonja vitu vzr dunia hii
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijawahi kuonja bia na nimeomba Mungu nisije hata kuramba hivi vyuma chakavu!!!View attachment 863972
Mwambie haendi mbinguniView attachment 863976
Tumbo lazima liwe na amani ya shibe sahihi. kuna mtu wangu hapa ananidondoshea nne ikiwa mimi mbili zinatosha.
Sasa hivi ni mwendo wa chakupima cha buku unasuuza na Serengeti Light mbili tatu baadae unasubiri mida ya taarifa ya habari saa mbili ili kujua kama ushatumbuliwa ama la unarudi home unakunywa maji mengi asubuhi unawahi kwenda kumtumikia Mhindi upate mshahara wako mapema.OvaaKwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Mapacha watatu
naunga mkono hoja!!Mleta mada ungetuzungushia round kwanza
Serikali inatambua wazi kuwa hii tasnia kamwe haitokaa ifanikiwe kugoma kwakuwa kila wakijikusanya kwa ajili ya mikakati ya mgomo wanaishia kulewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pamoja na umuhimu wetu adhimu kwenye maendeleo ya nchi hii lakini hatuthaminiki kabisa aisee!
Serikali inatuchukulia poa tu wakati tukigoma hata kwa majaribio tu hapakaliki..
kati ya bia zilizo nishinda ni hizi mkuu!Shindweni wenyewe View attachment 863999
😂😂😂ndio maana hawana wasi kabisaSerikali inatambua wazi kuwa hii tasnia kamwe haitokaa ifanikiwe kugoma kwakuwa kila wakijikusanya kwa ajili ya mikakati ya mgomo wanaishia kulewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa huu mzigo mzee baba Mshana Jr.Aiseee sisi watu wa Mwanza,Kagera,Geita,Chato na maeneo ya Interlucustrine zone wote tunasema URIMORA SAAAAANAAAA Mzee jiwe maana goma limeshuka bei adi sasahivi nasikia ni 1,500 tuu na bado baa zinakosa watu yani vyuma vimewakaza wanywajiShindweni wenyewe View attachment 863999