Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji15][emoji15][emoji15]12%

20170114_114959.jpg

Tumbo lazima liwe na amani ya shibe sahihi. kuna mtu wangu hapa ananidondoshea nne ikiwa mimi mbili zinatosha.
 
Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....

CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Sasa hivi ni mwendo wa chakupima cha buku unasuuza na Serengeti Light mbili tatu baadae unasubiri mida ya taarifa ya habari saa mbili ili kujua kama ushatumbuliwa ama la unarudi home unakunywa maji mengi asubuhi unawahi kwenda kumtumikia Mhindi upate mshahara wako mapema.Ovaa
 
pamoja na umuhimu wetu adhimu kwenye maendeleo ya nchi hii lakini hatuthaminiki kabisa aisee!
Serikali inatuchukulia poa tu wakati tukigoma hata kwa majaribio tu hapakaliki..
 
pamoja na umuhimu wetu adhimu kwenye maendeleo ya nchi hii lakini hatuthaminiki kabisa aisee!
Serikali inatuchukulia poa tu wakati tukigoma hata kwa majaribio tu hapakaliki..
Serikali inatambua wazi kuwa hii tasnia kamwe haitokaa ifanikiwe kugoma kwakuwa kila wakijikusanya kwa ajili ya mikakati ya mgomo wanaishia kulewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali inatambua wazi kuwa hii tasnia kamwe haitokaa ifanikiwe kugoma kwakuwa kila wakijikusanya kwa ajili ya mikakati ya mgomo wanaishia kulewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂ndio maana hawana wasi kabisa
 
Kwa huu mzigo mzee baba Mshana Jr.Aiseee sisi watu wa Mwanza,Kagera,Geita,Chato na maeneo ya Interlucustrine zone wote tunasema URIMORA SAAAAANAAAA Mzee jiwe maana goma limeshuka bei adi sasahivi nasikia ni 1,500 tuu na bado baa zinakosa watu yani vyuma vimewakaza wanywaji
 
Back
Top Bottom