Hizo sukar za kufanyia cocktail mbaba!Hizo sukari zimechafua meza[emoji23][emoji23][emoji23]
Chalii wanguu me ndo nimeamsha na hi kitu hapa nowSupu inawindwa na valeur ikiwa inashushiwa
Kweli chalii hapo haikatai kwa wajubaChalii wanguu me ndo nimeamsha na hi kitu hapa nowView attachment 881967
Maana Jana ilizd kidogo sasa sio mbaya nikizimua km mbili hv sasa hv then ndo nipumzike vzrKweli chalii hapo haikatai kwa wajuba
Nitaunga nawe muda si mrefuMaana Jana ilizd kidogo sasa sio mbaya nikizimua km mbili hv sasa hv then ndo nipumzike vzr
Hahahaha,Mambo ,maendeleo hayaji bila kodi na walipaji ndio sisiAisee walipa kodi humu ni hatari mnaamka na kuanza kuchangia maendeleo ya nchi
Mbona afya imezorota sana?,au wewe ni wa zile kali,umeamua kupigia picha hizo chupa?Niko kuvipiga vitu vyanguView attachment 863247
Nitatuma taarifa kwa muhusika mtunukiwe Cheti cha walipa kodi boraHahahaha,Mambo ,maendeleo hayaji bila kodi na walipaji ndio sisi
Itakua jambo jema SanaNitatuma taarifa kwa muhusika mtunukiwe Cheti cha walipa kodi bora
Hahhahhahhahah me ndo kwanza ndo kumekuchaAisee walipa kodi humu ni hatari mnaamka na kuanza kuchangia maendeleo ya nchi
Mgawanyo wa madaraka 🤣🤣🤣🤣🤣Swali kwenu walipa kodi, hivi ni kweli pombe na msuba haviendani?. Maana utakuta mtu wa njiti hagusi glasi na wa glasi hagusi njiti ni kwanini? Au ndio mgawanyo wa madaraka ?[emoji23][emoji23]