[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine tupo road msimwambie ninja kangi.
Huyu atakuwa Kada JingalaoMnazi+chang'aa effect... What a cocktail [emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]View attachment 864218
Amani iwe naweNlianza Kili ya Moto,
Sasa nashushia k-vant then nikalaleView attachment 864219View attachment 864224
ni sawa na kunywa Pilsner Bongo...unadharaulika sehemu nyingi. ila nenda Kenya uoneNapata tabu sana kunywa BALIMI katika mkoa wa DAR,,watu wananiona kama nimefulia,,kama kibaka,wanaficha simu zao,,,mbona kanda ya ziwa ,,ndio bia yenye heshima,,,Rock City utakuta safari zimeisha lakini sio BALIMI,,,,weka mikono juu na banjuka juu ,banjuka juu na balimi.
Karibu Sana mkuuuAmani iwe nawe
[emoji3] [emoji3]Na Anza hivi
Ova
Tupiamo tuTusiokunywa tunacomment wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jibapa!ππ[emoji3] [emoji3] View attachment 864233
[emoji23] [emoji23] [emoji23]jibapa!ππ
aisee naanza kuona hii foleni haiendi sijui nishuke tu hapa nilipo!
ππππππTAHADHARI
Jikagueni Walevi kabla hamajarudi homeView attachment 863118
Mkuu unapiga mixer na tangawiz??we noma
Baba ndy nimeanzaaaMkuu unapiga mixer na tangawiz??we noma
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kuna ule uzi wa wanakwaya waliouana gesti[emoji23]