Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Jipaba linakua na swaga sana pale unakuta limelezwa linakupa hamasa zaid k vant haiwez kulazwa nayo au waibadili muundo
 
Swali kwa wale wanywa valeur brandy,hivi ukinywa vile vi valeur vidogo vingapi unalew@?Mimi binafsi vitano Jana vimenichukua!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hpa kaunta yuko dada mmoja ana chura hatari kaunta tumeninginia tumejaaazana
Tu hku na anayetaka kukaa chini kwny meza[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
images.jpeg

Ilitikisa sana enzi zake 😀
 
Back
Top Bottom