Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Pamoja katibu ngoja nipige vyombo sasa kisha nipange mikakati ya kesho
Nmekata safari fasta [emoji23] [emoji23]

Ova
20181001_204213.jpg
 
Ndugu walipa kodi wenzangu naona ulipaji unaendelea kwa uaminifu ule ule wa siku zote, leo nachangia pato kitaa tu wikiendi hii ya mshahara imenichosha sana nipo chimbo halina jina kichochoroni tu
 
Back
Top Bottom