Safi [emoji23] [emoji23]Pamoja katibu ngoja nipige vyombo sasa kisha nipange mikakati ya kesho
Nmekata safari fasta [emoji23] [emoji23]Pamoja katibu ngoja nipige vyombo sasa kisha nipange mikakati ya kesho
Kuna mayai hapo?
Mkuu vitakuwa vya promo tu sio bei yake hiyo.Jamani kuna vi bia vinaitwa AMSTEL size kama ya castle Lite nimeona sijui ndyo promosheni!
Vinauzwa buku jero
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndugu Mwenyekiti, Katibu mkuu kiongozi, makatibu kata na waheshimiwa wajumbe wa kamati kuu teule ya walipa kodi waliotukuka, Itifwaaq imezingatiwa.. Nabasamilia kwa fasi ya mtogole..View attachment 883899
kwenye supermarket nyingi. Ni noma sana izo mbili tu una lala vizuri na hazina hangoverMkuu hii bear beer inapatikana wapi hapa dar
Vp upuuzi ni bia gani jaribu ku share na wanywaji wenzakoUpuuzi grade 1
Katibu huyo kashapigwa na maisha, anataka pa kujifarijiVp upuuzi ni bia gani jaribu ku share na wanywaji wenzako
Ova
VYOTE MZEEShurubati, chungu ama ngumu kumesa!? [emoji144][emoji144]🤔🤔[emoji115]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Katibu huyo kashapigwa na maisha, anataka pa kujifariji
[emoji3] [emoji3]Wanachama mbona leo....
Kimyaa au nyongo imekata leo
Ova
TupoWadau mpo ?