Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mtani hapo Ramada napaheshimu Sana,mwaka huu nlikua hapo kwa nguvu ya kampan nayofanyia kazi..kulikua na sales kick off ya mwaka huu ila wakat shughuli inaendelea nkasogea kaunta nikwanywa bia tano nkaambiwa bill 40000 asee thanks God nlikua fresh ila nkasema hapo sio kwa sis tunaokunywa bia za 2000 asee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapa inabidi uwe na zile za ziada
 
Walipa kodi wenzangu mpo?
Nilikwepa kodi kidogo leo nimerudi kulipa.
Nataraji mu wazima.
Pande za k's moshi leo na wadau siwaoni kabisa.
15387581081201611288435.jpg
 
Back
Top Bottom