Nlikiacha alafu naona kama alikipiga nayeUliacha kwa Mangi kiporo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapa inabidi uwe na zile za ziadaMtani hapo Ramada napaheshimu Sana,mwaka huu nlikua hapo kwa nguvu ya kampan nayofanyia kazi..kulikua na sales kick off ya mwaka huu ila wakat shughuli inaendelea nkasogea kaunta nikwanywa bia tano nkaambiwa bill 40000 asee thanks God nlikua fresh ila nkasema hapo sio kwa sis tunaokunywa bia za 2000 asee
Hahahahaha mkuu wangu umelenga mule mule inaonesha na ww mdau eeehBila shaka unafanya kazi coca[emoji23][emoji23]
Utakuta kampimia Cha jero mtu apate hela ya kujiunga bando[emoji3]Nlikiacha alafu naona kama alikipiga naye
Ova
Ilikua htr,baada ya hapo nliamia kwa mlatie trplle 7 ikawa bala[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapa inabidi uwe na zile za ziada
Itakuwa hvyo maana mm nliweka Alama [emoji23]Utakuta kampimia Cha jero mtu apate hela ya kujiunga bando[emoji3]
Kaunta kopakabana.....aika uzushi tuUtakuta kampimia Cha jero mtu apate hela ya kujiunga bando[emoji3]
Kwa mangi tunafanya hivi sahv na washkaji [emoji23]Ilikua htr,baada ya hapo nliamia kwa mlatie trplle 7 ikawa bala
Tunachangia kodi kwa kasi ya hatari Inabidi tra watutambue rasmiWalipa kodi wenzangu mpo?
Nilikwepa kodi kidogo leo nimerudi kulipa.
Nataraji mu wazima.
Pande za k's moshi leo na wadau siwaoni kabisa.View attachment 887720
Wasipotambua tuandamaniTunachangia kodi kwa kasi ya hatari Inabidi tra watutambue rasmi
Ova
Aise hatare mm nashusha mizingaaa tuLeo hiki kitu kinashuka kweliView attachment 887786
Swadakta RafikiLeo hiki kitu kinashuka kweliView attachment 887786
Werawera hadi rahaAise hatare mm nashusha mizingaaa tu
Na washkaji pembeni dukani kwa mangi tumetengeneza kiji pub cha muda
Ova
View attachment 887815
Rafiki umelala leoSwadakta Rafiki
Niko chimbo Giza tu ,nimezungukwa na makazee /kretiRafiki umelala leo