Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani... karibuuu tuzimue.View attachment 892547
Cha barrrrrrrrdiiiiiii
Subiri niko na afande mkubwa nataka nimtoe upepo kidogoMtani... karibuuu tuzimueView attachment 892826
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kipindi cha ukata mrefu has a kwa sis wafanya kazi baada ya mishahara kutoka
Sasa nkaona pesa zitaisha na mm napenda sana monde a.k.a spirit nkanunua chupa zang za value 2 kubwa zile za 8000 nkaziwek ndan
Kilichofuat sasa nkawa sina tena muda wa kwenda job nkaa home nakula tu pombe coz nkiziangalia kabatin naona kama mapanya yatazigida vile wik nzima ninalewa tu sio asubhi mpaka wiki ikaisha zilpo isha sasa arosto yake sio ya kitoto mpaka watot na wife walikuwa wananikimbia ni hasira tu nahisi kama wao ndio wamenisababishia arosto kali
Kweli kabisaUsisahau mambo mazuri ya maendeleo yanayozungumzwa wakati wa moja baridi moja moto . Nilipata mbinu za kilimo cha tikiti maji kwenye unywaji . Ulevi ambao sio wa kupindukia unamfanya mtu azungumze bila unafiki kuhusu ukweli wa jambo . Hata katika hotuba point nyingi zinapatikana kwa walevi wa wastani . Pimbe inafunfua akili na kukuonyesha njia . Kila jioni napita sehemu " kama sebule " ili kupata habari zilizojiri .
Arosto ya valuer ni mbaya sijui kwa nnKuna kipindi cha ukata mrefu has a kwa sis wafanya kazi baada ya mishahara kutoka
Sasa nkaona pesa zitaisha na mm napenda sana monde a.k.a spirit nkanunua chupa zang za value 2 kubwa zile za 8000 nkaziwek ndan
Kilichofuat sasa nkawa sina tena muda wa kwenda job nkaa home nakula tu pombe coz nkiziangalia kabatin naona kama mapanya yatazigida vile wik nzima ninalewa tu sio asubhi mpaka wiki ikaisha zilpo isha sasa arosto yake sio ya kitoto mpaka watot na wife walikuwa wananikimbia ni hasira tu nahisi kama wao ndio wamenisababishia arosto kali
Chaliii leo umeadimika kinyamaKweli kabisa
Ova
Nko kwenye pilika fulani leo sijatoa lock kbsa[emoji3] [emoji3]Chaliii leo umeadimika kinyama
Show inaendelea hapa mkuuuNko kwenye pilika fulani leo sijatoa lock kbsa[emoji3] [emoji3]
Ova
Show ya ki babe naona Safi mm nko ofisi moja nmebanwa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Show inaendelea hapa mkuuuView attachment 893199
Polee mkuuu me leo nimeanza bia saa nne asbh hd nowShow ya ki babe naona Safi mm nko ofisi moja nmebanwa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Mm muda si mrefu naachiwa hapaPolee mkuuu me leo nimeanza bia saa nne asbh hd now
Hahahahaha Leo is a wamekupata mkuMm muda si mrefu naachiwa hapa
Ova
Duh leo nmepatikana mzee babaHahahahaha Leo is a wamekupata mku
Show inaendelea hapa nataka hama kiwanja alaf kesho nakuja mjini...mkwajun me ndo kitaaView attachment 893352
Chaliii anguu ebu karibia hapaaDuh leo nmepatikana mzee baba
Ila ntafanya manuvaa soon
Ova
Duh una nipa mizukaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]Chaliii anguu ebu karibia hapaaView attachment 893371