Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Rafiki mie zaidi hahahahaha. Njoo nikutembeze maeneo murua pasi na shakaNilikumiss Rafiki Blaki Womani ,mambo vipi ?naona uko ktk garden moja matata Sana
Best nisameheni simu iliisha chaji hapa A chuga katibuni sanaMbona hatupi code[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Panafaaa kutoka na familiaa
Ova
Rafiki nikitua tu wewe wa kwanza kukutafuta usinikimbie tuRafiki mie zaidi hahahahaha. Njoo nikutembeze maeneo murua pasi na shaka
Usijari tuko pamoja RafikiSimu iliisha chaji mnisamehe walipa kodi wenzangu
Rafiki nikitua tu wewe wa kwanza kukutafuta usinikimbie tu
Kumbe uko A town? Safi SanaKaribuni A town
Unanitenga Rafiki ujue ,mpk naona wivuRafiki
Nami nakuaminia ,jiandae siku yoyote Mie mgeni wakoHahahaha sijawahi kukimbia mtu najiamini
Kumbe uko A town? Safi Sana
Unanitenga Rafiki ujue ,mpk naona wivu
Katibu sana rafikiNami nakuaminia ,jiandae siku yoyote Mie mgeni wako
Nitakaribia kwa mualiko wako rasmi PMKatibu sana rafiki
HahahahaRafiki lipa kodi hakuna kutengana
Naomba unialike rasmiHaaswa
Naomba unialike rasmi
Ahsante Sana, sasa naweza kuja huko kwa uhakika zaidi, tuko pamoja Rafiki ,jiandae na ugeniKaribu rafiki mwaliko sahihi
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Jana si kuna sister pemben ya meza angu alikuwa kaagza nyama(The mdudu, The Hot Hot,The pig) imekaangwa inanukiwa balaa aisee c nkaenda kujoin huku nko na chupa yng ya nyagi akashndwa kunifkuza akabd aniagizie na pili pili..
Power of Alcohol[emoji23]