Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kiwanja gani hpo
Vp hkuna usumbfu wa wazee[emoji23] [emoji23]

Ova
Hakuna kabisa maimoria hapa nje ya soko.
Nawakitokea unawatuliza na kischana wanatembea mbaya ni kuwaletea nyodo tu. Mbona nawenyewe wanalipa kodi sana tu.
 
Hakuna kabisa maimoria hapa nje ya soko.
Nawakitokea unawatuliza na kischana wanatembea mbaya ni kuwaletea nyodo tu. Mbona nawenyewe wanalipa kodi sana tu.
Nimejibu kumbe sikuulizwa Mimi, sijui ni utamu wa kili?.🙄😀😀
 
KWA ANAYEJUA ANISAIDIE VIGEZO VYA KUITWA ...WHISKY....BRAND.....GIN NA VINGINE KAMA HIVYO
 
Back
Top Bottom