Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Duu wadau nahisi kilinge kimevamiwa... Naona vichambo vinaendelea.. Walevi hatuna hizi tabia..! Wametoka wapi hawa?
Tumevamiwa@mwenyekiti mshulikie haraka sana Huyu mtu mpige kipapai

Ova
 
MRANGI
BAMPAAA LISHAACHANGANYAAA NGOJA NAMIE NIAGIZE BURUDANI KIKOSIKAZII.....


UGANDA KUNA NYOKO ANAITWA WARRAGI AISEE UKICHANGANYA NA BOND SEVEN LAZIMA ATOTOE SIKUHIOO
Wasalimie wazee wa kisementi hapo kla

Ova
 
HAHAHAAAAAA ITAMTOKEAA TUNDUNI AWAJUIII
 
Juzi kanikuta kilingeni , ananiambia kaanza dozi ya tb anataka hela ya kula
Mzushi sana zamani sana tulijifungia sehemu tunapiga vyombo saa nne asubuhi si akatuletea pira kuchomesha ila tulimalizana na wazee papo hapo wazee kama kawaida yao hawana Siri wakamtaja[emoji23] [emoji23] deo tukamtafuta wacha achezee nakoz
Ila siku hzi kabadilika

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…