Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Batch ya pili imebidi kubadili mchanganyiko wenye tonic na kuweka bitter lemon baada ya tonic kuniujumu kwa kukata kilevi changu cha kwenye kasichana.
 
Hizi konyagi fake ngoja nikapige jack Daniel home nipate usingizi batch ya tatu bado nina haiba usoni wa mbele yangu namuona vizuri..shenzi kabisa..kesho namcall mdau wa konyagi anieleze ukweli wa hii mambo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…