Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Dawa ya mbu ndio beer mbili tatu za kulalia
Ahh ukilewa mmbu hata a kungate vp husiki
Kuna bar Ukienda mezani wanatuwekeaga ile lotion dawa ya mmbu ila kwa sisi wanywaji naona kama inatukata stimu na harufu ile [emoji23] [emoji23]
Ngja niendelee shusha nyagi

Ova
 
Bro! Niko naramba ramba tu hapa! Wee weita, leta kama tulivyo!!! Na Wee binti, njoo karibu na mimi hapa, hivi kumbe hunijui! Mimi ndio bwana tupatupa, huyu hapa Rafiki yangu saana, anaitwa bwana okota okota! Sasa ni uamuzi wako, ufuuate nyuki ule asali au ufuate inzi ule mavi he he he!!! Wee jikoni!!! Leta kichwa ya mbuzi hapa haraka, usisahau pilipili kichaaa!!!
 
Bro! Niko naramba ramba tu hapa! Wee weita, leta kama tulivyo!!! Na Wee binti, njoo karibu na mimi hapa, hivi kumbe hunijui! Mimi ndio bwana tupatupa, huyu hapa Rafiki yangu saana, anaitwa bwana okota okota! Sasa ni uamuzi wako, ufuuate nyuki ule asali au ufuate inzi ule mavi he he he!!! Wee jikoni!!! Leta kichwa ya mbuzi hapa haraka, usisahau pilipili kichaaa!!!
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niko mtaani kwako katibu
Kna mwanamama nlimuzia yale mambo yetu anadai imebuma ngj tumuweke Sawa asije akatuitia piraaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] maana anapenda kesi sana hyu

Ova
 
Kna mwanamama nlimuzia yale mambo yetu anadai imebuma ngj tumuweke Sawa asije akatuitia piraaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] maana anapenda kesi sana hyu

Ova
Atakuwa mpare huyo

Ova[emoji1]
 
Back
Top Bottom