Duu si karibu kabisa na Kimanzichana?Duh leo sijalipa kodi kbsa nlikuwa nmeenda mwarusembo hko nmepatikana kuna mamwinyi balaaa
Soon naanzisha safari 2 3 4 za kuniweka Sawa niko hpa manyanya wakulima bar nataka nifanye yngu
Ova
Nko wakulima bar tmejifungia ndani mnyanya hapa leo wazee wanazungka balaaDuu si karibu kabisa na Kimanzichana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tshazoea[emoji23][emoji23][emoji23]pole katibu
Duh kna mvua ya kiuzushi hku sahv[emoji23][emoji23][emoji23]pole katibu
Kino kna vimanyunyu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Usishangae Kimanzichana hakuna
Nipe code sehemu ya mkesha wapi[emoji23][emoji23][emoji23]mida ya cha alfajiri inakaribia katibu... Wahi...!!!
Ah wanga wanapata wkt mgumu[emoji23] [emoji23]Saa hii mida ya wanga katibu... Tuwaachie watambe
Npo ufipa ila nachkua take away nakwenda mitaa ya knyama nkitoka huko nakwenda mwananyamala pa siku ile nachkua take away kwa mangiNiko Victoria hapa katibu
Tukutane kijitonyama utanipa location... Nilikuwa kwa kopa kwa kidumu nimerudi VictoriaNpo ufipa ila nachkua take away nakwenda mitaa ya knyama nkitoka huko nakwenda mwananyamala pa siku ile nachkua take away kwa mangi
Ova
View attachment 927503
OkTukutane kijitonyama utanipa location... Nilikuwa kwa kopa kwa kidumu nimerudi Victoria
Dah! Na hili joto natamani kuifuta hlo jashoKaribuni...View attachment 927730
Dah! Na hili joto natamani kuifuta hlo jasho
Bia inangaa hii...Karibuni...View attachment 927730