Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Umenoga sana kweli aisee, naapa kwa niaba ya Mayor wa Mbabane hapa Swaziland.

Hivi unafikiri naweza ku-pretend wakati hapa ugenini kuna vifaa vinavyopendwa. Nikisema umenoga namaanisha
Dah nmeingia chakike nmekaribishwa kiwanja kimoja hapa mikocheni nyumbani kwa mtu ila nashangaaa nyagi,safari,hakuna,kna Heineken na Windhoek
Hatuelewielewi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…