Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hapo kwenye ukuta wa jamaa kauandika marufuku kukaa hapa tumekaa kwa nguvu ya bia na mwandikaji tunamtandika bia
"Nguvu ya gambe hio"

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio nazinduka natafuta pa kutoa loki mida hii
Duh nmeingia na zinga langu kbsa backup
Saa kumi hakuna kulala maana saa 12 natakiwa kwenda sehemu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa unafanya Je kutoaaa lock

Ova
 
Duh nmeingia na zinga langu kbsa backup
Saa kumi hakuna kulala maana saa 12 natakiwa kwenda sehemu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa unafanya Je kutoaaa lock

Ova
Duu nashuka bondeni hapo stand kwa mama muuza nikamgongee aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku tulirudi mitungi midaa kma hii
Ahh tukampigia sim mangi atokee tuendelezee ahh mangi akasema hawezi amkaa kachkaa,ila nawapeni ruhusaa vunjeni kufuli ingieni mjisevieee [emoji23] [emoji23]
Fastaaa kufuli lukabetuliwaa tulikaa pale mpk saa moja na nusu tunapiga mitungi
Mpk mwenyewe akaja [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Kuna siku tulirudi mitungi midaa kma hii
Ahh tukampigia sim mangi atokee tuendelezee ahh mangi akasema hawezi amkaa kachkaa,ila nawapeni ruhusaa vunjeni kufuli ingieni mjisevieee [emoji23] [emoji23]
Fastaaa kufuli lukabetuliwaa tulikaa pale mpk saa moja na nusu tunapiga mitungi
Mpk mwenyewe akaja [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom