Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,224
- 2,337
that killer look... epic... ngoja niivutie kasiWhy Not? [emoji482][emoji482]View attachment 932890
Jamaa wanatengeneza chupa hadi unahs za mapambo! Dah...!that killer look... epic... ngoja niivutie kasi
Duh nmeingia na zinga langu kbsa backupNdio nazinduka natafuta pa kutoa loki mida hii
Duu nashuka bondeni hapo stand kwa mama muuza nikamgongee aiseeDuh nmeingia na zinga langu kbsa backup
Saa kumi hakuna kulala maana saa 12 natakiwa kwenda sehemu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa unafanya Je kutoaaa lock
Ova
Kamletee uzushi [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duu nashuka bondeni hapo stand kwa mama muuza nikamgongee aisee
Kuna siku tulirudi mitungi midaa kma hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naelekea mkuranga mwenyekiti# njiani hiyoooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile chupa unaweza dhaniaa inauzwa 30000/Mi mwenyewe sijawahi kuitest asee ila nimeshika chupa mpya ya kvant nimepata msisimko flani hivi wameipack vizuri.... naanza kushawishika kujaribu wikend hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku tulirudi mitungi midaa kma hii
Ahh tukampigia sim mangi atokee tuendelezee ahh mangi akasema hawezi amkaa kachkaa,ila nawapeni ruhusaa vunjeni kufuli ingieni mjisevieee [emoji23] [emoji23]
Fastaaa kufuli lukabetuliwaa tulikaa pale mpk saa moja na nusu tunapiga mitungi
Mpk mwenyewe akaja [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Kiguza zamani kwa rpc tiba 1 hyoAisee safari njema niko Zakhem ila ndio nageuza kurudi Msata