Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imagine na nyie mngekuwa na TV[emoji1]
 
Kwa wale wanaosema Biblia imekataza pombe watuache Bwana Yesu Mwenyewe alikuwa mdau maana asingekuwa mdau asingesema maneno haya.
Mathayo 11:18-19
"Maana Yohane alikuja ,Hali Wala hanywi ,wakasema; yu na Pepo.Mwana wa Adam alikuja, akila na kunywa,wakasema mlafi huyu na mlevi,rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana ina Haki kwa kazi zake"
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Andikoo hilooo imenifanyaaa niongezee speedd

Ova
 
Sijawahi kuzima mapema Kama Leo, usiku mwema wadau kitanda kinanihitaji , ila aliyegundua jagermaster atakuwa muuaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…