Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hii picha imenikumbusha miaka ya nyuma kidogo huko Kijijini nilienda Kwa kabinti pamoja (Kipindi cha likizo) kaliniingiza geto kwake,Sasa baada ya kazi kufanyika muda wa kuondoka sababu ya Giza na uoga uoga nikavaa ndala zisizo zangu.Nafika home najikuta nimevaa vindala vimechakaa.Dah nikaona msala huu.Ikabidi nisingizie Kwa mother asubuhi kuwa jana tulienda kuangalia TV Kwa Fulani Sasa tulikuwa wengi wakati wa kutoka watu wamenibadilishia ndala.Mama akanielewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii picha imenikumbusha miaka ya nyuma kidogo huko Kijijini nilienda Kwa kabinti pamoja (Kipindi cha likizo) kaliniingiza geto kwake,Sasa baada ya kazi kufanyika muda wa kuondoka sababu ya Giza na uoga uoga nikavaa ndala zisizo zangu.Nafika home najikuta nimevaa vindala vimechakaa.Dah nikaona msala huu.Ikabidi nisingizie Kwa mother asubuhi kuwa jana tulienda kuangalia TV Kwa Fulani Sasa tulikuwa wengi wakati wa kutoka watu wamenibadilishia ndala.Mama akanielewa
Imagine na nyie mngekuwa na TV[emoji1]
 
Katibu ratibu acha kucheka
Safari inafoka moshi [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
20181116_185346.jpg
 
Kwa wale wanaosema Biblia imekataza pombe watuache Bwana Yesu Mwenyewe alikuwa mdau maana asingekuwa mdau asingesema maneno haya.
Mathayo 11:18-19
"Maana Yohane alikuja ,Hali Wala hanywi ,wakasema; yu na Pepo.Mwana wa Adam alikuja, akila na kunywa,wakasema mlafi huyu na mlevi,rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana ina Haki kwa kazi zake"
 
Kwa wale wanaosema Biblia imekataza pombe watuache Bwana Yesu Mwenyewe alikuwa mdau maana asingekuwa mdau asingesema maneno haya.
Mathayo 11:18-19
"Maana Yohane alikuja ,Hali Wala hanywi ,wakasema; yu na Pepo.Mwana wa Adam alikuja, akila na kunywa,wakasema mlafi huyu na mlevi,rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana ina Haki kwa kazi zake"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Andikoo hilooo imenifanyaaa niongezee speedd

Ova
 
Sijawahi kuzima mapema Kama Leo, usiku mwema wadau kitanda kinanihitaji , ila aliyegundua jagermaster atakuwa muuaji
 
Back
Top Bottom