Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Uzi una mwezi mmoja tu tangia ianzishwe ila imekuwa ndefu balaa.

Lakini pombe inaleta watu pamoja... Wote ni WALEVI bila kujali kanywa pombe ya aina gani... Akinywa

Balimi..............ataitwa Mlevi
Serengeti........ataitwa mlevi
Gongo.............ataitwa mlevi
Dompo.....................mlevi
Wine.....,.,.................mlevi
Bigwa......................mlevi
.
.
.
Na kadhalika
 
Watutambue kama walipa kodi

Ova
 
Unaeka na kadhalika bila kuipa heshima safar kwe ye hio main list mkuu
Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…