Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Baada ya msosi tunaendelea View attachment 938479
Mi nilijisahau ndio napiga msosi sasa karibu
IMG_20181117_151426.jpg
 
[emoji3] [emoji3]
Unalijuaa chimbo la wanaijeria blck41 Wana kibar Chao kikosi kama nyumba huwezi jua kama Wana ki lounge ndani ila hakina Jina nje...
Bdaye sogeaa pale nataka kwenda banana nao[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sema wna mikelele sana wapopo wale si madem wala mamen

Ova
 
Unalijuaa chimbo la wanaijeria blck41 Wana kibar Chao kikosi kama nyumba huwezi jua kama Wana ki lounge ndani ila hakina Jina nje...
Bdaye sogeaa pale nataka kwenda banana nao[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sema wna mikelele sana wapopo wale si madem wala mamen

Ova
Ha ha , Katibu wewe unawaweza hao
 
Ha ha , Katibu wewe unawaweza hao
Mm si mzushi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Gia siku ya kwanza kwenda pale nkawmbia unamuona jmaa yangu hyu yuko uhamiaji hpo basi wakawa wa pole [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanauza bia 4000/ mm na uzi wa kwa bei elekezi[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Mm si mzushi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Gia siku ya kwanza kwenda pale nkawmbia unamuona jmaa yangu hyu yuko uhamiaji hpo basi wakawa wa pole [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanauza bia 4000/ mm na uzi wa kwa bei elekezi[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Hiyo kali , wapopo wengi magumashi
 
Back
Top Bottom