mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nawaza kufika nyumbni , sitaki kufika kituo Cha polisi nikawape faida
Kweli kabisa hata mm nkiwa bwax ni kitandani tu kulala
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nawaza kufika nyumbni , sitaki kufika kituo Cha polisi nikawape faida
Wale jamaa Kama umeingia upo bwax wanaona mtaji huo pombe ikiisha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli kabisa hata mm nkiwa bwax ni kitandani tu kulala
Ova
ShidaWale jamaa Kama umeingia upo bwax wanaona mtaji huo pombe ikiisha
JK Jr alikuwa anaijua vizuri siasa za nchi za maziwa makuu, unakumbuka wakati ule wa usuluhishi wa mgogoro wa Rwanda chini ya JK Sr yeye alikuwa waziri Mambo ya njeSawa sawa,hata RDC ,wamechezeshwa cheusi chekundu ktk siasa ,na JK Jr hadi raha
HahahaJK Jr alikuwa anaijua vizuri siasa za nchi za maziwa makuu, unakumbuka wakati ule wa usuluhishi wa mgogoro wa Rwanda chini ya JK Sr yeye alikuwa waziri Mambo ya nje
HahahaJK Jr alikuwa anaijua vizuri siasa za nchi za maziwa makuu, unakumbuka wakati ule wa usuluhishi wa mgogoro wa Rwanda chini ya JK Sr yeye alikuwa waziri Mambo ya nje
Mimi nikichangamka nataka muziki lakini si club. Nikichoka sana nakumbuka kitandani na kumbukumbu ya ma x wangu inakuja kwa kasiKUNA WENGINE WKINYWA POMBE WANAKUWA WATATA VURUGU MTINDO MMOJA!
MIMI NIKIWA TUNGI NAKUWAGA MDOGO KITU NACHOFIKRIAA NI KITANDANI TU?
VP WEE UKIWA TUNGI UNAKUWA JE FUNGUKA TU HUMU USIOGOPE?
Ova
Karibu sanaUzi wetu pendwa nimemiss safari kubwa baridi
Kitanda ndy mwokozi wa mpiga tungi unapishana na balaa mengi [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nikichangamka nataka muziki lakini si club. Nikichoka sana nakumbuka kitandani na kumbukumbu ya ma x wangu inakuja kwa kasi
Halafu wanywaji mnakuaga sio wachoyo, Leo tunakaribishana wapi?
KitesheWeka location ukaribishwe nearest station
Kuna Baby Boy mmoja anaitwa Beira Boy yupo huko mtafuteKuna yoyote aliyeko Beira hapa Msumbiji aje tuliamshe dude!
Ndo wapi?Kiteshe
Dah umenikumbusha kwa Mzeru na MsumbijiChanika nssf View attachment 866167
Sawa kaka.. Ila naondoka mitaa hii soon.Umesomeka subiri maelekezo