machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Walizifungulia kwenye jagi mzee zikafoka fuuuuuuu kama tindikali😂Banana hazifai mzee, hata kuifungua yenyewe kama siyo mzoefu inamwagika chini yote
Hahaah, huwezi kufungulia kwenye glass mzee! Alafu ukiizoea sana hata kula huwezi tenaWalizifungulia kwenye jagi mzee zikafoka fuuuuuuu kama tindikali[emoji23]
Tokea sikuile sijajaribu tena ilikua siku ya kwanza na ya mwisho kula kitu cha ndizi(banana)
Saizi nalewa virikuu vyangu tu na valeur
Brother nimejaribu naona nimefanya madudu, au sijui kwa sababu niko vyombo tayari...? Aaaaaa..!! Bro tusubirie akili zikae sawa hapa tayari nakaribia kufunga hesabu [emoji56][emoji56][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kula unaezaje mzee kitu kina hamira ya kuzidi tumbo lilijaa nikitaapika natapika ndizi na nyama nzima nzima na nilizitafunaHahaah, huwezi kufungulia kwenye glass mzee! Alafu ukiizoea sana hata kula huwezi tena
No Bro, tutaenda mdogo mdogoUmefanikiwa?
Mhhh, nimewahi kumchukua mmoja wa Super Star akanipeleka kiwanja kama hicho, nilimrudishia Shukrani mubashara yaani mbupu mpaka lukwiri [emoji23][emoji23][emoji23]Now I'm in ze light trak[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 867848
Alikua fea bro, halafu kiuno feni ziwezi kumtaja ila yuko fiti. [emoji125][emoji125]Hakuwa mchoyo eeh[emoji23][emoji23][emoji85][emoji85]
Kimara mwisho nko napiga 1 1[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]location plsMdg mdg ,jpili njema View attachment 868077
Dah[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]location plsMdg mdg ,jpili njema View attachment 868077
Hahahaha,pande za mbali sana MkuuDah[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]location pls
Nimepandishia nyagi nabadilisha Gia hewa niDah[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]location pls
Safi ,inabidi tukutane wadau wote tule ugimbi kwa pamojaPamoja tuko mkuu
Ova
Ndy manake mkuu na pia itabidi uje pm tupeane michongo ya hela ntaku pm contact zanguSafi ,inabidi tukutane wadau wote tule ugimbi kwa pamoja