Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Banana hazifai mzee, hata kuifungua yenyewe kama siyo mzoefu inamwagika chini yote
Walizifungulia kwenye jagi mzee zikafoka fuuuuuuu kama tindikali😂
Tokea sikuile sijajaribu tena ilikua siku ya kwanza na ya mwisho kula kitu cha ndizi(banana)
Saizi nalewa virikuu vyangu tu na valeur
 
Walizifungulia kwenye jagi mzee zikafoka fuuuuuuu kama tindikali[emoji23]
Tokea sikuile sijajaribu tena ilikua siku ya kwanza na ya mwisho kula kitu cha ndizi(banana)
Saizi nalewa virikuu vyangu tu na valeur
Hahaah, huwezi kufungulia kwenye glass mzee! Alafu ukiizoea sana hata kula huwezi tena
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Brother nimejaribu naona nimefanya madudu, au sijui kwa sababu niko vyombo tayari...? Aaaaaa..!! Bro tusubirie akili zikae sawa hapa tayari nakaribia kufunga hesabu [emoji56][emoji56]
 
Hahaah, huwezi kufungulia kwenye glass mzee! Alafu ukiizoea sana hata kula huwezi tena
Kula unaezaje mzee kitu kina hamira ya kuzidi tumbo lilijaa nikitaapika natapika ndizi na nyama nzima nzima na nilizitafuna
 
Brother nimejaribu naona nimefanya madudu, au sijui kwa sababu niko vyombo tayari...? Aaaaaa..!! Bro tusubirie akili zikae sawa hapa tayari nakaribia kufunga hesabu [emoji56][emoji56]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mhhh, nimewahi kumchukua mmoja wa Super Star akanipeleka kiwanja kama hicho, nilimrudishia Shukrani mubashara yaani mbupu mpaka lukwiri [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuwa mchoyo eeh[emoji23][emoji23][emoji85][emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…