Tata ya bana
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 295
- 357
Karibu kk yangu nipo hapa now nakula ndizi na koffi olomide anaplay kwa video.hii sehemu ni club ina kila kinywaji kuanzia bia mpaka wanzuki.huyu mwekezaji kabuni sana kaweka na private corner unagonga bila mtu kukuona na guest ipo hapa na micharuko kama kawa
Tegeta kwa ndevu mi natuliaga hapo pk nagonga kongoro namimina kilauri