Daaaa Kiwanja changu Sana ichoo
Ilikua mixer na kvant mkuu,piga lite km tisa hv nikaona napata hasara tukashushe kubwa moja chap nikaanza kuona kila barmaid mzuri[emoji1] [emoji1] ikabd nisepe home tuLite inaumizaje kichwa Mkuu!??
Weekend hii nililala tuuUkakae kitandani utakua huna maamuzi ya busara kabisa mi ndio amalizia naanza safari ya kuja kwa mjinga muda fupi ujao.
Uliyataka wewe.Unanicheka! Wakati mimi nina huzuni
Hahahahahaaa..umetoka simiyu lini mkuu
Nilijua zishakunogea muda ule ndo maana ukasahau.Halafu nisamehe bure nilisahau kufanya muamala halafu hukunikumbusha [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Leo tuwahi viwanjani mapema kabisa
Leo mlipo nipoJumatatu hiyoooooo
Ngj Tukitoka kwenye mitkasi tutajua itakuwaje
Ova
Leo tuwahi viwanjani mapema kabisa