Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Utakua unatuangusha sana kama huna malengi na mtoko wako.
Wewe ndio unasababisha tuonekane hatuna akili.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na vyuma hivi!!! siku hizi ni indoors tu kama ni ofa najipa mwenyewe mkuu[emoji39]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji44][emoji44][emoji44][emoji849][emoji849][emoji849][emoji57][emoji36]
 
Nadhani Mshana ulikuwa unaitafuta hii picha
 

Attachments

  • IMG_20180917_045904.jpg
    38.4 KB · Views: 21
Nadhani Mshana ulikuwa unaitafuta hii picha
[emoji112][emoji112][emoji112][emoji122][emoji122][emoji115][emoji115][emoji115][emoji120][emoji120][emoji120]agiza Doctor chap kwa haraka
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mdau safiri salama wewe sasa cheo chako ni PR, mrangi karibu
Nafasi zifuatazo bado ziko wazi
. HR
. Finance
. Lawyer nk
Nashukuru kwa kunitakia safari njema ila umenipa kazi wakati pombe hataki kutoa kazi?. 😁😂😁😂😁😐😑
Naweza kuediti id nikaongezea na cheo changu kaka?.
 
Nashukuru kwa kunitakia safari njema ila umenipa kazi wakati pombe hataki kutoa kazi?. [emoji16][emoji23][emoji16][emoji23][emoji16][emoji52][emoji58]
Naweza kuediti id nikaongezea na cheo changu kaka?.
[emoji23][emoji23][emoji23]ruksaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…