Hahahahaha hapana mkuu siyo dhalauAnaleta zereu sasa huyu mwambie anipm nimpe ya 5000. Na alete mrejesho sio kwa 500.
Pwa pwa pwa!Umepita bila kupingwa... Makofi tafadhali
Kuna baa medi nimemuagizia Voda kaleta TIGO nimeamua kuitupia Humu.mkuu imekubali ni 500 next time utume ya 5000.
Sasa unaogopa nini?Hahahahaha hapana mkuu siyo dhalau
Sawa mkuu. Msalimie mumeohahah! yeah mume nnae,na ndo raha ya dunia hii mkuu, kila mtu na maono yake na choice zake, wewe kua na malaika na sisi mashankupe tunao wanaume wanaoweza kutuhimili [emoji6]
Jibu murua kabisa.Binafsi napenda demu wangu awe anashtua hata bia mbili au tatu hv ndo poahahah! yeah mume nnae,na ndo raha ya dunia hii mkuu, kila mtu na maono yake na choice zake, wewe kua na malaika na sisi mashankupe tunao wanaume wanaoweza kutuhimili [emoji6]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nlikuwa napigaga ugali na Sato
Sasa mashambulzi yanaendelea
Ova
Ilikuwaje tena au vyomboooKuna baa medi nimemuagizia Voda kaleta TIGO nimeamua kuitupia Humu.
[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23]Sasa unaogopa nini?
Nakutumia kwa pic sio unipe number. Kua na amani.
Yani sielewi.Ilikuwaje tena au vyombooo
Ova
Tingisha kama imkwisha!!!Sawa mkuu. Msalimie mumeo
Usijali ndio naondoka na sitaweza kuwa humu kwsho nitawapa mrejesho kama nimefika salama. Wakuu kwakerini kwa Muda[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23]
Oi,Ilikuwaje tena au vyombooo
Ova
SafiiiiiOi,
Ngoja me Leo nikomae na Serengeti lager kadhaaa nikalale mapema tuView attachment 869150
Sawa usiendeshe gari kwa speed.Usijali ndio naondoka na sitaweza kuwa humu kwsho nitawapa mrejesho kama nimefika salama. Wakuu kwakerini kwa MudaView attachment 869148View attachment 869148