Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Napata tabu sana kunywa BALIMI katika mkoa wa DAR,,watu wananiona kama nimefulia,,kama kibaka,wanaficha simu zao,,,mbona kanda ya ziwa ,,ndio bia yenye heshima,,,Rock City utakuta safari zimeisha lakini sio BALIMI,,,,weka mikono juu na banjuka juu ,banjuka juu na balimi.
 
Msata kilingeni chap kwa haraka
IMG_20180912_174634_3.jpg
IMG_20180912_174647_5.jpg
 
Back
Top Bottom