ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Maisha yenyewe yanatuchanganya lazima tufurahie ujanaPonda Raha Ujana ungali upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yenyewe yanatuchanganya lazima tufurahie ujanaPonda Raha Ujana ungali upo
Mgosi umekua Hu Jintao siku hizi[emoji23]Msata kilingeni chap kwa haraka View attachment 864211View attachment 864212
Safi....hiyo inapendeza kwa pembeni kuwe na kitimoto inachomwa vizuuri ...unaisubiria...huku ukigida hiyo kitu tarrrtiiiibu.....alafu uwe na mrembo vile vileMsata kilingeni chap kwa haraka View attachment 864211View attachment 864212
Babaaaeeee uzi unanoga sasaNlianza Kili ya Moto,
Sasa nashushia k-vant then nikalaleView attachment 864219View attachment 864224
hahaha kweli tupo tofauti..Aisee kweli Walevi tunatofautina sana,katika Bia iliyoniahinda ladha yake ya ukakasi ni hii Ndovu siwezi kunywa hata moja nikaimaliza.
mkuu unagonga vitu adimu hatari😂😂😂Babaaaeeee uzi unanoga sasa View attachment 864230
Mgosi ikiwamba kichwani si utaongea kichina kabisa[emoji23]Babaaaeeee uzi unanoga sasa View attachment 864230
Hii kitu chief inaelkea nzuri Sana eeeh,Babaaaeeee uzi unanoga sasa View attachment 864230
bongo zipo kweli?Hivi ndio vile vinawekwa nyoka na nge
[emoji23][emoji23]Hivi ndio vile vinawekwa nyoka na nge
raha ya milk stout nikinywaga nahisi kama silewi...mtanange unakuja wakati wa kusimama sasa dah!Kitu milk stout mwisho wa matatizo