Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
kuna watu mahsusi wameandaliwa kukataa rufaa iwapo hatutazikutaKuzimu hakuna biaa ....wacha tunyweeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna watu mahsusi wameandaliwa kukataa rufaa iwapo hatutazikutaKuzimu hakuna biaa ....wacha tunyweeeee
Mmemfanya kada Stroke akaanzishe uzi wa juisiKuzimu hakuna biaa ....wacha tunyweeeee
😂😂😂😂😂😂Mmemfanya kada Stroke akaanzishe uzi wa juisi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mmemfanya kada Stroke akaanzishe uzi wa juisi
Ndio namalizia kazi hapa Ofisini then ndio niende kwenye MondeKaribu Sana mkuuu
Anasema sisi waleviMmemfanya kada Stroke akaanzishe uzi wa juisi
Mkuu naona umeamua kutimiza misemo ya wahenga,kuwa dawa ya Moto ni Motooo[emoji3] [emoji3] View attachment 864233
kuna ulevi na unywajiWatu wanapenda sana pombe ! Ila ole wenu walevi....!
Acha kujifariji bro !kuna ulevi na unywaji
Kichwa kilikuwa hakikuwa sawa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu naona umeamua kutimiza misemo ya wahenga,kuwa dawa ya Moto ni Motooo
AnatapatapaMmemfanya kada Stroke akaanzishe uzi wa juisi
Bora ametumia busara , hakutaka kuchafua uzi wetuAnasema sisi walevi
Ova
Acha vitisho,too lateWatu wanapenda sana pombe ! Ila ole wenu walevi....!
huo ndio ukweli boss!Acha kujifariji bro !
Nasema tena,ole wenu walevi waovu....!Acha vitisho,too late
Tupoooo tena kwa kishindo ila kwa adabu na utii na heshima na taadhima. Hatubadili viatu wala makobasi ila tunateremshia mahala pa heshima kama kule kulikoungua juzi juzi na home.
Wameanzishiwa uzi wao kule ndio maana wanauana gesti , Mungu hadanganywi.Sijui kafata nini hukuAcha vitisho,too late
Anakaribishwa lkn Sema yeye mzee wa juisiBora ametumia busara , hakutaka kuchafua uzi wetu