Adilinanduguze2
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 1,386
- 1,919
7j70lllll8Hivi balimi ni bia nzuri... Nataka kuanza kulewa rasmi hivi punde.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
7j70lllll8Hivi balimi ni bia nzuri... Nataka kuanza kulewa rasmi hivi punde.
Huku asije abaki huko hukoAnakaribishwa lkn Sema yeye mzee wa juisi
Ova
Vyuma vyako ni vipi? Hii ndiyo moderate drink kwa watu wote labda wewe uwe millioner nunakunywa champagne tu.Sijawahi kuonja bia na nimeomba Mungu nisije hata kuramba hivi vyuma chakavu!!!View attachment 863972
Njoo huku jakitoo [emoji14]Tusiokunywa tunacomment wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nite nite.Serikali inatambua wazi kuwa hii tasnia kamwe haitokaa ifanikiwe kugoma kwakuwa kila wakijikusanya kwa ajili ya mikakati ya mgomo wanaishia kulewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
...kuna watu mahsusi wameandaliwa kukataa rufaa iwapo hatutazikuta
Hahahah[emoji3] [emoji3] [emoji3]Huku asije abaki huko huko
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji817][emoji115]Tupoooo tena kwa kishindo ila kwa adabu na utii na heshima na taadhima. Hatubadili viatu wala makobasi ila tunateremshia mahala pa heshima kama kule kulikoungua juzi juzi na home.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] we jamaaaa jingaa sanaWameanzishiwa uzi wao kule ndio maana wanauana gesti , Mungu hadanganywi.Sijui kafata nini huku
. View attachment VID-20180905-WA0073.mp4Kunywaa bia tuchangiee uchumiView attachment 864263
Ankaliiii[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hii kitu wacha kiitwee pombe kipenzi cha wengii
Tatizo lao wao wanajidai wa wokovu tena wanapenda kuvamia mada ambazo hawajaulizwa ushauri , wanajidai kimbelembele kutoa ushauri[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] we jamaaaa jingaa sana
[emoji1]Wameanzishiwa uzi wao kule ndio maana wanauana gesti , Mungu hadanganywi.Sijui kafata nini huku
Nataka kuhamisha mashambulizi[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]
Mda wa kuwait foleni iisheeNaona kagiza giza linaingia nijiandae kuhama haapa
Ova