Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inamaana mpaka saa hizi hujaanza mzigo?.Naona wapiga gambe sijui tunazidi kupungua uzi hauendi kabisa
hii yapaswa kuja bongo hiiBapa hapa ni kibapaView attachment 863432
mkuu hizi Ndovu umezipatia wapi au picha ya zamani hii??Niko kuvipiga vitu vyanguView attachment 863247
Ikifikia hapo naacha kaka daah!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 864216
😂😂😂
Mimi Kama wewe spirit + beer#TeamKoteKote hapa!
pamoja mkuuMimi Kama wewe spirit + beer
Si aliipenda mwenyeeeeewe ndindi.Mmemfanya kada Stroke akaanzishe uzi wa juisi
Si aliipenda mwenyeeeeewe ndindi.Mmemfanya kada Stroke akaanzishe uzi wa juisi
Mmmh mkuu hii inaonekana bidhaa hatari sanaaaTeam nyonga figo + mvinyo ulio boraView attachment 864298
Mm nimeanza na spirit ila soon ntabadilisha Gia an gani
Ova