Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
Mwanajeshi achagui silaha safiiiii mkuu.#TeamKoteKote hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanajeshi achagui silaha safiiiii mkuu.#TeamKoteKote hapa!
Km hujui kichina kunywa hii kitu utastaajabuTeam nyonga figo + mvinyo ulio boraView attachment 864298
Mkuu Mshana Jr,hivi pale kwa Mzee Maliki wa "Sitawahukumu" bado papo?Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Mkuu sisi hatuogopi upandaji wake , tutakunywa tu ila idadi zitapungua za kunywaHuko bongo nasikia bei zimepanda,so mnapunguza idadi ya bia unazokunywa ama vipi?
@Shunie namtamani kishenzi sema nyagi zishaunguza mbavu, maini yashaiva kasoro ni chumvi tu plus kibamia makofi nayaona njenjenje.
MfyuuuuTangu jana nna kiu ya "biya" sijapata utuvu tuu,.mwenye kiu kama Mimi jamaniii em tutaftane asee,.
Kuna pakukomenti sisi tusokunywa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Njoo huku jakitoo [emoji14]
Babu haya unanigawaje bila mwenyewe kujua jamani
WanawakeUsipotumia pombe utatumia nini mpenzi??
TupooHuu uzi mbona siwaoni kina dada au hawagongo vyombo?
Halafu hata asinikumbuke mimi ndugu yake wa karibuBabu haya unanigawaje bila mwenyewe kujua jamani