Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babe nimekosa Heineken,.[emoji20]halafu nna kiuuu bado haijakata
Lazima upige chafya hapa
Imeenda vyema bro,nipo nanywea nyumbani hata hazipandi.Raha ya mtungi uwe sehemu unaona na nyangenyange kidogo..Siku imeendaje lakini
Dah kunywa safari mixer nyagiHizo wala sizipendi labda windhock draught ndio naiona kidogo ina taste ya Heineken
Dah kunywa safari mixer nyagi
Ova
PoaHeineken inanitosha sana mkuu kinywaji nakunywa nakisia kinavyopita vizuri kooni
Oya Mrangi,ushalala arifuuu???Poa
Ova
Kama una mahela mengii naanzia wapi kukupiga shunie mm jamani
Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Dogo hivi umamaliza skul?sijui nimewahi
Hapo kasoro... ngi tuu[emoji86]Kabla ya kufika kwa mama chanja, tunazimua View attachment 864378
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya safari ndefu na ya kibabe ya jana,leo napoza engine na kili bardiiii.
NOTE
karanga hazihusiani na chochote.View attachment 864393