Ni mbaya kweli gonga safariMbaya, bia ya watu wa kanda pendwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mbaya kweli gonga safariMbaya, bia ya watu wa kanda pendwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha, kwa hii mizigo labda siku biashara zimegoma ntakunywa 😁
phone ililala kwa caUliloweka boss![]()
![]()
![]()
hahaha alilaza simu kwenye chajiHapana inaitwa kuonja [emoji851][emoji851]
Kweli kuna sura zimeharibiwa na ngumu kumeza japo ni dawa moja nzuri sana mwiliniKwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
[emoji849][emoji849]phone ililala kwa ca
hahaha alilaza simu kwenye chaji
Sawa kaka nasubiriaDah subiri takufanyia mambo japo upate 2,3 za kianzio
Kweli kuna sura zimeharibiwa na ngumu kumeza japo ni dawa moja nzuri sana mwilini
Ni wachache sana wanaokosa hiyo kitu nyumbani maana ile ukimaliza kula ukigonga tu kidogo mwili wote utajisikia amaniNakichukulia spidi kiporo changu chumbani [emoji12][emoji12]
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]🤔Nimechelewa mlevi wa savvana baridView attachment 866290
Hahaahhaa nakushauri piga tatu tuu then uendelee na nyingine ukikomaa nayo mwanzo mwisho itakufanya mbayaNimeiona inapigwa promo mkuu na kesho naanza nayo wakati wa game ya Liver na tott nahisi ntalingana na kina salah kisoka
Brother Mshana mbona simu yangu inagoma ku upload picha ? tatizo ni nini ?[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji848]
Hizo ni poisonHahaha, kwa hii mizigo labda siku biashara zimegoma ntakunywa [emoji16]
Ni version 8.1.0Ni version ngapi? JF uptodated version ukiwa na Android under 5.1 inasumbua sana
Ya kondoo the best