Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Nina kiu hela sina kuna mshkaji kaniita najizungusha akili inaniambia niacha tu kujidanganya ngoja nika unlocks
Nenda tu mkuu
Kwa sisi wazee wa tungi tuna hela hatuna lazima tulewe tu[emoji23] [emoji23]
Kingine kwenye tungi unaweza Pata deal la maana kesho ukamka fresh

Ova
 
[emoji485]
IMG-20180916-WA0014.jpg
 
Nimepata mzigo wadau, sitakuwepo hewani kwa muda Samahani kwa usumbufu.nitakuwa hewani baada ya kushusha mzigo [emoji125][emoji125]
[emoji849][emoji849][emoji39][emoji39][emoji39][emoji115][emoji144]
 
Kabizi funguo kwa mlinzi wa hapo ili uwe safe.
Ila nimekaa kwa huzuni sina rafiki.kwenye mji wenu huu wa bashite. Bora.masaa yaende nimalize kazi niondoke zangu niende kwetu chuga.
Dah pole sana mdau shuka fasta Msata ukule mambo
 
Back
Top Bottom