mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha mrangi utakuwa unamwili mkubwa Sana, hivyo vyombo ni hatari kwa sisi wembamba
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha mrangi utakuwa unamwili mkubwa Sana, hivyo vyombo ni hatari kwa sisi wembamba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Week end inakaribia ,tusipunguze speed
UBUNIFUUmewarahisishia kzi hpo maweita
Ova
Wakati mwingn wahudumu kukufungulia bia wanachukua masaa ahhhhhUBUNIFU
Hicho kitu kipo ndani ya gari,natembea nachoWakati mwingn wahudumu kukufungulia bia wanachukua masaa ahhhhh
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we kbkoHicho kitu kipo ndani ya gari,natembea nacho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamani usiku mwema naogopa kuchapia kwenye mwandiko
Safi hyo kikubwa kuyumbaaa [emoji23] [emoji23]Karibuni bomberdia kubwa huku tuna mix na safari kirikuuuuu
Mm situmii glass, ila km unatumia nakushauri tembea nayo ,au km bar umeizoea acha moja kaunta asiguse mtu[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we kbko
Hadi glass tutembe nazo pia
Ova
Hata mm mzee wa talumbeta glass za bar nyingi chafuMm situmii glass, ila km unatumia nakushauri tembea nayo ,au km bar umeizoea acha moja kaunta asiguse mtu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanywaji wana fitna mbaya sana.Kbsa mwishowe lazima wa anguke
Maana hadi wakina h.pope wakina kifukwe etc Wali hamia kwa mangi [emoji23]
Ova