Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Poa ishu ya hapa ikikaa poa nanyorosha makanyagio mpaka huko... Btw naomba WhatsApp number yako, kuacha ile
Ile 754-----
Kuna mishe ntamaimaliza saa Sita ikiisha tu ntajitumbukiza africando pale kwa oiso
Bwege yule anapika chakula Kizuri anatujulia walevi

Ova
 
Ile 754-----
Kuna mishe ntamaimaliza saa Sita ikiisha tu ntajitumbukiza africando pale kwa oiso
Bwege yule anapika chakula Kizuri anatujulia walevi

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23]poapoa utamkuta bibi Tina anawanga
 
Sikupati kwa voda
Nmepat txt Voda ina data tu
Tigo anayo wakusizi bwege hyu nmetok naye mkuranga kaja kuuza matango yke alafu alfajiri anatakiwa tandika sokoni akipitiliza atajijuaa mwnyw [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
[emoji123][emoji109][emoji115][emoji106]
Nmeingia ndani na backup
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
20181115_031430.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahhh tume wapishaa wazee wa mochwari mwananyamala hsptl mzee naniii kaja a yko matingaz kikaoo kikavunjikaaa gaflaa
Kila mtu kwaoo wale naoo nksi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Stori zao kufa kufa tu

Ova
 
Ahhh tume wapishaa wazee wa mochwari mwananyamala hsptl mzee naniii kaja a yko matingaz kikaoo kikavunjikaaa gaflaa
Kila mtu kwaoo wale naoo nksi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Stori zao kufa kufa tu

Ova
Dah ofisi yangu ya zamani hiyo... Naimiss sana
 
Huku poa sana tunapambana na riziki ya leo. Hahahahah kama kawaida usisahau akiba ya mizunguko
Chuga wanasemaje [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwekahazina nimedamka leo Nna Ratiba ndefu kdg kwanza nastuaa hapa kiroho Safi
Then ndukiii

Ova
 
Back
Top Bottom