Resurrection
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 952
- 1,267
Walevi kulewa ni raha auni starehe ni shida au ni kitu gani by sio mlevi mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujaionja pepo huwezi kujua laha ya pombe😂Walevi kulewa ni raha auni starehe ni shida au ni kitu gani by sio mlevi mimi.
Ttz viwanda pori vimekua vingi mno kaka
Niliwahi kunywa 7 siwezi sahau .nilihis kifo...hizi unywe taratibu aise usiwe na pupaTamu kweli hii bidhaa
Ila ukifakamia after few hours ndo unajua umeyakanyaga 😂
Learned this the hard way😁
glass ina ufa🤨
Dodoma Capital parkwapi hapa
Chiaziii hiyoglass ina ufa🤨
Hii kitu safi sana lakini siku hizi naziogopa sana baada ya kusikia watu wanazifyatua mtaani wanaweka mpaka stika za TRA