Kuna juice moja huwa naitengeneza kiasi kwamba huwa najikubali mwenyewe kuwa ni munoma sanaDuh!mtajadili nini sasa wakati hivyo vitu havichangamshi akili wala haviletagi rapsha
Dah, sitaki kuamini kama na ww ati ni musober[emoji28]Asee... Bora umeanzisha kauzi ketu[emoji122]
Haya masober tutiririke
Why hutaki kuamini?Dah, sitaki kuamini kama na ww ati ni musober[emoji28]
[emoji23]Ndio maana mnapata stroke kunyweni Pombe [emoji3]
Ni nahis kama ni mtu wa viwanja sanaWhy hutaki kuamini?
Stori za bangi zinachekesha sana[emoji23]Mi nataka nianzishe uzi maalumu wa wala ndumu,sjui mods wataucha uishi?
Kwahiyo ukiwa mtu wa viwanja lazima unywe pombe?[emoji15]Ni nahis kama ni mtu wa viwanja sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwenye huu Uzi hutakiwiNdio maana mnapata stroke kunyweni Pombe [emoji3]
Hapana si lazima viwanja viandane na pombe ila asilimia ndogo sana, kama siyo 2.99 basi ni 3 tuKwahiyo ukiwa mtu wa viwanja lazima unywe pombe?[emoji15]
Na nini kinakufanya uhisi mi mtu wa viwanja?