witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Unatumia wine gani my?Wine kinywaji laini lakini kamata ya kutosha kama utaona njia ya kurudi home
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia wine gani my?Wine kinywaji laini lakini kamata ya kutosha kama utaona njia ya kurudi home
Kuna mlevi kanywa mibia yake katapika! Kweli pombe si chaiNzi wengi hapa,kuna nini kwani?
Jumuisha na sisimizi 😁Nzi wengi hapa,kuna nini kwani?
Soda fanta orange[emoji23] [emoji23]Nzi wengi hapa,kuna nini kwani?
Full sukari sukari [emoji23]Jumuisha na sisimizi [emoji16]
Msisimko wa kiubaridiKwahiyo mkinywa maji mnajisikiaje?
Drostdy Hof dry red 12.5 alcoholUnatumia wine gani my?
Nzi waondoke hapa tuna xpel matata sana [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nzi wengi hapa,kuna nini kwani?
Parachichi, Tangawizi, Limao. Sukari kwa mbali.Kuna juice moja huwa naitengeneza kiasi kwamba huwa najikubali mwenyewe kuwa ni munoma sana
Nzuri lakini inalewesha[emoji23] 15,000 chupa kubwa bar wanauza hadi 20,000Nzuri eeh? Siijui!
How much
Ushajaribu kuweka asali instead of sukariParachichi, Tangawizi, Limao. Sukari kwa mbali.
Hapana sijawai.Ushajaribu kuweka asali instead of sukari
Kweli mkuu..ila za wala mirungi ni balaaa.Stori za bangi zinachekesha sana[emoji23]
Ijaribu mkuu, kuna watu ile taste ya asali huwa inawashindaHapana sijawai.
Robertson ndo my main...nataka kubadilisha kidogoNzuri lakini inalewesha[emoji23] 15,000 chupa kubwa bar wanauza hadi 20,000
Kama sio mnywaji sikishauri labda upata Robertson sweet kidogo sio kali
OkRobertson ndo my main...nataka kubadilisha kidogo
[emoji23]Kuna mlevi kanywa mibia yake katapika! Kweli pombe si chai