Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Mpeni majibu yenye matumaini jamani na sio kumkejeli yani hakuna kitu kinauma kama mzazi akiona mwanae hakui katika uwiano sawa na wenzake. Kuna rfk angu mmoja alikua na mtoto na yy akiwa hivyo ila nadhani wa kwake hakua anaongea maneno mapk 3 yrs wakaenda muhimbili kuja kugundua badae ni kuwa mtoto alibanwa mishipa ya fahamu iliyo karibu na masikio so hasikii vzr ndo kilichompelekea kutokuongea kwa wakati.
So nashauri wazazi tuwe tunawachunguza watt na tupende ku google ateleast satages za ukuaji. Mfano mtt wa miezi fulani anatakiwa aweje au afanye matendo gani. Hii hupelekea kutambua tatz mapema kwa sababu wanasema ni rahisi mtoto kutibika tatizo lake akiwahi kabla hajafikia miaka 3.
Ila usikate tamaa huyo kama anatoa sauti na anatamka baba mama inawezekana ni uzito tuu wa ulimi endeleeni kumfanyia uchunguzi na urudi hospital usikubali ushauri wa mitaani. Msumbueni daktari mpk aone kuna ulazima wa kutake more mesurement.
So nashauri wazazi tuwe tunawachunguza watt na tupende ku google ateleast satages za ukuaji. Mfano mtt wa miezi fulani anatakiwa aweje au afanye matendo gani. Hii hupelekea kutambua tatz mapema kwa sababu wanasema ni rahisi mtoto kutibika tatizo lake akiwahi kabla hajafikia miaka 3.
Ila usikate tamaa huyo kama anatoa sauti na anatamka baba mama inawezekana ni uzito tuu wa ulimi endeleeni kumfanyia uchunguzi na urudi hospital usikubali ushauri wa mitaani. Msumbueni daktari mpk aone kuna ulazima wa kutake more mesurement.