google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Hakika[emoji848][emoji36][emoji87][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Jr[emoji769]
Kibaka anataka kuondoka na stering ya gari hahahahaha ndo raha ya wizi kama mlevi raha ni kulewa na ukisha lewa ni kujisaidia ndogo na kubwa na kulala mtaroni.Hivi wizi ni tabia au ni hobby? Ona kibaka anavyopata haki yake
CC : mrangi
View attachment 1385458View attachment 1385457
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kibaka anataka kuondoka na stering ya gari hahahahaha ndo raha ya wizi kama mlevi raha ni kulewa na ukisha lewa ni kujisaidia ndogo na kubwa na kulala mtaroni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa yangu ye kila akileta dem magetoni lazima atafanya anavoweza anamuibia chupi. Saizi amejaza vyupi kwake na kila chupi na harufu yake.. Sijui huu nao ni ulevi, kama ndio ni sahihi tukisema jamaa ni mlevi wa chupi?
Duuuuuh unatumia vumbi au ni kile kinywaji cha zanzibar alkasusu ?
Duuuuuh unatumia vumbi au ni kile kinywaji cha zanzibar alkasusu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu utapasua mishipa hiyo tukukose kwani vipi unashindana na kitu kinavutika ?? Sehemu ulipotokea ni ngumu kuishinda. Ila hongera mwanaume hiyo ndio kazi yenyeweMixer [emoji23]
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu utapasua mishipa hiyo tukukose kwani vipi unashindana na kitu kinavutika ?? Sehemu ulipotokea ni ngumu kuishinda. Ila hongera mwanaume hiyo ndio kazi yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima utakuwa mtu wa puchu ww si bure, ebu jaribu kuelezea ulevi wako mpaka mwisho. Ukishajificha ndani unafanya nn wakati unatafuta usingizi ??Ulevi wangu ni kulala.
na kujificha ndani
Ndani kwa ndani. Nimeupdate post kaisome teena[emoji44][emoji44][emoji44]uko ndani halafu unajificha.. [emoji848][emoji848][emoji848]kwenye nini?
Jr[emoji769]
Hivi kuhonga ni tabia, ni hobby ama ni ulevi? Maana kuna watu wasipohonga wanajisikia vibaya mno
Jr[emoji769]
Sasa mbona husemi mambo yanayokupa nishani ?? Kulala kila mtu analala mkuuPuchu lazima.
ila nina xbox makorokoromengine kibao, niutulia kama hivi hunitoi kirahisiView attachment 1385540
Ndio napenda Sana[emoji23][emoji23]Hukosi kijora [emoji86]
Jr[emoji769]