Mada ya vilevi vingine

Mada ya vilevi vingine

Ulevi mwingine huu
Kibaka anataka kuondoka na stering ya gari hahahahaha ndo raha ya wizi kama mlevi raha ni kulewa na ukisha lewa ni kujisaidia ndogo na kubwa na kulala mtaroni.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20200312-WA0066.jpeg


Jr[emoji769]
 
Kuna jamaa yangu ye kila akileta dem magetoni lazima atafanya anavoweza anamuibia chupi. Saizi amejaza vyupi kwake na kila chupi na harufu yake.. Sijui huu nao ni ulevi, kama ndio ni sahihi tukisema jamaa ni mlevi wa chupi?
 
Back
Top Bottom